Profile Picture
  • All
  • Search
  • Images
  • Videos
  • Maps
  • News
  • More
    • Shopping
    • Flights
    • Travel
  • Notebook
Report an inappropriate content
Please select one of the options below.
  • Length
    AllShort (less than 5 minutes)Medium (5-20 minutes)Long (more than 20 minutes)
  • Date
    AllPast 24 hoursPast weekPast monthPast year
  • Resolution
    AllLower than 360p360p or higher480p or higher720p or higher1080p or higher
  • Source
    All
    Dailymotion
    Vimeo
    Metacafe
    Hulu
    VEVO
    Myspace
    MTV
    CBS
    Fox
    CNN
    MSN
  • Price
    AllFreePaid
  • Clear filters
  • SafeSearch:
  • Moderate
    StrictModerate (default)Off
Filter
ليه قصرتي الجيبة"ورميتي التحجيبة🧕🏽 | ويكا - weka
0:28
ليه قصرتي الجيبة"ورميتي التحجيبة🧕🏽 | ويكا - weka
410.8K views3 days ago
Facebook\u0648\u064a\u0643\u0627 - weka
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan, ameiagiza ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali (DPP) kuchuja makosa ya vijana waliojihusisha na vurugu wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 ili wale waliofuata mkumbo wazungumze nao kisha wawaachie. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital #ITVUpdate
2:46
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Sami…
389.6K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
"Tunaambiwa kwamba vijana wale walioingia kudai haki walilipwa fedha kwanza ndio wakaingia barabarani, na wengi wao waliingia barabarani kutokana na hizo fedha walizopewa. Je, fedha zilitoka wapi? NG'Os zetu za ndani na nje wamechangia nini kwenye mambo hayo..."- Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akizindua tume ya kuchunguza vurugu zilizotokea kabla na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pe
1:34
"Tunaambiwa kwamba vijana wale walioingia kudai haki walilipwa fed…
322.7K views2 days ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Mara baada ya kuthibitishwa kuwa Waziri Mkuu mteule leo Novemba 13, 2025, Dkt. Mwigulu Nchema amepewa nafasi ya kuzungumza bungeni kwa mara ya kwanza ambapo pamoja na mambo mengine, amezungumzia suala la ofisi za umma kwamba atahakikisha zinawasikiliza Watanzania hasa wa hali ya chini. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #ITVDigital
0:45
#HABARI: Mara baada ya kuthibitishwa kuwa Waziri Mkuu m…
435.9K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
#VIDEO: Leo Bungeni aliyekuwa Mgombea wa Uspika kupitia Chama cha ADC, Amin Yango, amezua kicheko Bungeni baada ya kujibu kwa utani swali la Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku (Msukuma), aliyemuuliza kuhusu mavazi aliyovaa na kumjibu kuwa, "Kiongozi lazima uwe smati kwa hiyo isikuhadae rangi Mhe.Msukuma jirani yangu utamu wa chai sukari", majibu hayo yaliibua vicheko ndani ya Bunge. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - 📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pe
1:07
#VIDEO: Leo Bungeni aliyekuwa Mgombea wa Uspika kupitia Cham…
555.9K views1 week ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amekabidhiwa Ofisi na Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa, Mlimwa Jijini Dodoma. Viongozi waliohudhuria hafla ni pamoja na Naibu Waziri Mkuu Mstaafu Dkt. Doto Biteko, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Taasisi, Wakuu wa Idara na watumishi wengine wa Ofisi ya Waziri Mkuu. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno
1:07
#HABARI: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amekabidhiwa …
246.2K views5 days ago
FacebookITV Tanzania
#HABARI: Mvua iliyonyesha kwa saa kadhaa katika Jiji la Mwanza, imesababisha mafuriko ya maji katika eneo la Mabatini, panapojengwa daraja baada ya baadhi ya nyumba pamoja na maghala ya kuhifadhia nafaka kujaa maji na kusababisha hasara kwa baadhi ya wakazi na wafanyabiashara wa nafaka katika eneo hilo. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV. #I
2:17
#HABARI: Mvua iliyonyesha kwa saa kadhaa katika Jiji la Mwanza, imes…
63.7K views1 day ago
FacebookITV Tanzania
See more videos
Static thumbnail place holder
More like this
Feedback
  • Privacy
  • Terms